#Local News

PROF. OKOWA ACHAGULIWA JAJI ICJ

Kenya imepiga hatua kubwa kwenye ngazi ya haki ya kimataifa baada ya Profesa Phoebe Okowa kuibuka mshindi katika uchaguzi wa kuwa jaji katika mahakama ya kimataifa kuhusu haki ICJ.

Profesa Okowa ambaye tayari ni mwanachama wa tume ya sheria ya kimataifa, amechaguliwa katika kura za baraza kuu la umoja wa mataifa UN na baraza la usalama, na sasa atachukua wadhifa ulioachwa na hakimu Abdulqawi Yusuf wa Somalia.

Okowa atakuwa mwanamke wa kwanza mkenya  kuhudumu kwenye mahakama hiyo ya ICJ.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

PROF. OKOWA ACHAGULIWA JAJI ICJ

RUTO AMWOMBOLEZA MBUNGE WA ISIOLO SOUTH

PROF. OKOWA ACHAGULIWA JAJI ICJ

KPA YAWAKA MOTO WA VIKAPU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *