#Local News

MBUNGE KAKAI ASHINIKIZA SULUHU YA KUDUMU KWA MAFURIKO

Serikali imetakiwa kusaka makazi ya kudumu kwa waathiriwa wa mafuriko ambao huathirika kila msimu wa mvua katika kaunti ya Trans Nzoia, ili kuwaondolea mahangaiko ya kukosa makazi.

Katika kikao na wanahabari baada ya kutoa misaada kwa waathiriwa katika eneo la Machungwa, mbunge wa Kiminini Kakai Bisau, amesema hiyo ndiyo njia mwafaka ya kuepusha hasara ya mafuriko kila mara.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MBUNGE KAKAI ASHINIKIZA SULUHU YA KUDUMU KWA MAFURIKO

SERIKALI HUZIMA UMEME, RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *