#Local News

UCHUNGUZI: KWS NDIO WALIKUWA WA MWISHO NA ODHIAMBO


Mchakato wa kupata haki kwa familia ya mvuvi aliyetoweka katika mbuga ya wanyamapori ya Lake Nakuru Brian Odhiambo umeanza kupata mwelekeo, afisa wa polisi anayechunguza tukio hilo Julius Muhuri akiwatambua maafisa 6 wa KWS kama watu wa mwisho walioonekana na Odhiambo kabla ya kutoweka kwake.

Afisa huyo ameiambia mahakama kwamba kulingana na uchunguzi, signal ya simu ya Odhiambo ilikuwa karibu na washukiwa wakati wa kukamatwa kwake kwa tuhuma za kuingia katika mbuga hiyo kinyume na sheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UCHUNGUZI: KWS NDIO WALIKUWA WA MWISHO NA ODHIAMBO

IVAN JURIC, AFUTWA KAZI

UCHUNGUZI: KWS NDIO WALIKUWA WA MWISHO NA ODHIAMBO

 UPINZANI WAMPUUZA RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *