#Local News

WAKENYA WALIOKWAMA MYANMAR WAREJESHWA

Hatimaye wakenya 119 waliookolewa nchini Myanmar baada ya kulaghaiwa mtandaoni kupewa ajira wamerejeshwa humu nchini, serikali ikisema juhudi za kuwarejesha wakenya wengine 200 ambao wamekwama nchini humu zinaendelea.

Kupitia taarifa, wizara ya masuala ya kigeni imesema 119 hao waliachiwa huru kutokana na operesheni ya vikosi vya usalama vya Myanmar dhidi ya makundi yanayoendeleza uhalifu karibu na mpaka huo na Thailand.

Serikali imewatahadharisha wakenya dhidi ya ahadi za ajira ghushi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKENYA WALIOKWAMA MYANMAR WAREJESHWA

MAAFISA WA KLINIKI WAANZA MGOMO

WAKENYA WALIOKWAMA MYANMAR WAREJESHWA

POLISI WALAUMIWA KWA KUVURUGA MAANDAMANO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *