#Local News

WANAFUNZI WARUSHIWA KIBARUA KUREJEA VYUONI

Kibarua sasa ni kwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma kurejea vyuoni baada ya wahadhiri wao kusitisha mgomo wa siku 49 uliokuwa umelemaza masomo na kusababisha maelfu ya wanafunzi kurejea makwao.

Mgomo huo umesitishwa baada ya wahadhiri na wafanyakazi wa vyuo vikuu kukubali kulipwa deni lao la shilingi bilioni 7.9 kwa awamu mbili jinsi serikali ilivyopendekeza.

Aidha, serikali imeahidi kuanza mazungumzo mara moja kuhusu mishahara yao kwenye mktaba wa maelewano wa mwaka 2025-29.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAFUNZI WARUSHIWA KIBARUA KUREJEA VYUONI

SERIKALI HUZIMA UMEME, RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *