#Local News

POLISI WALIOREJEA WATAJA UFANISI

Maafisa wa polisi waliorejea nchini kutoka Haiti wametaja kufanikiwa kwa misheni yao ya kurejesha utulivu katika taifa hilo la Karibia, mojawapo ikiwemo kufungua upya barabara kuu zilizokuwa zimetekwa na magenge ya wahalifu.

Wakizungumza siku moja baada ya kurejea, maafisa hao wameelezea kupitia changamoto mbali mbali katika muda wa miezi 18 waliyohudumu nchini humo.

Inspekta mkuu wa polisi Douglas Kanja, amewataka kutumia ujuzi waliopata katika operesheni zijazo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

POLISI WALIOREJEA WATAJA UFANISI

MATOKEO YA KJSEA KUTOLEWA

POLISI WALIOREJEA WATAJA UFANISI

IMLU YAONYESHA MADHILA DHIDI YA RAIA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *