#Local News

WANAFUNZI TRANS MARA SOUTH SHULENI

Hatimaye wanafunzi katika shule ya Sitet Comprehensive eneo la Trans Mara South wamepata fursa ya kurejea shuleni kwa muhula wa kwanza baada ya maafisa wa usalama kuwaondoa watu waliokuwa wakiishi kwenye shule hiyo.

Operesheni hiyo iliongozwa na chifu wa Olodonyo-Orok Paul Rutto, mkurugenzi wa elimu eneo hilo George Muchina akiripoti kuwa wanafunzi wapatao 250 waliripoti katika shule hiyo hapo jana.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAFUNZI TRANS MARA SOUTH SHULENI

DUALE, KUCO WAKOSA MWAFAKA

WANAFUNZI TRANS MARA SOUTH SHULENI

TRUMP: NITAIENDESHA VENEZUELA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *