1,932 WAPATA A KCSE 2025
Watahiniwa 270,000 wa mtihani wa KCSE wa mwaka jana wamepata alama ya C+ na zaidi, ambayo ni alama ya wastani ya kuijunga na vyuo vikuu, ambayo ni asilimia 27 ya watahiniwa 993,000 waliokalia mtihani huo wa mwaka jana.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa matokeo hayo katika Ikulu ndogo ya Eldoret, Rais William Ruto ameweka wazi kwamba watahiniwa 1,932 miongoni mwao walipata alama ya A.
Hafla ya kutangaza matokeo hayo rasmi inaendelea jijini Eldoret.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































