#Local News

EACC YATAKIWA KUZUIA UNYAKUAJI WA ARDHI CHEPCHOINA

Wakaazi wa ardhi ambayo imekumbwa na utata ya Chepchoina kaunti nya Trans Nzoia wameitaka tume ya maadili na kupambana na ufisadi EACC kuwachukulia hatua za kisheria baadhi ya maafisa wa serikali ambao wamekuwa wakinyakua mashamba yao.

Aidha wakaazi hao wamesema kuwa mgogoro huo huenda ukaleta vurugu ikiwa wizara ya Ardhi na usalama hazitaingilia kati kutatua swala hilo .

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

EACC YATAKIWA KUZUIA UNYAKUAJI WA ARDHI CHEPCHOINA

SHEREHE YA PEP YATIWA DOA ULAYA

EACC YATAKIWA KUZUIA UNYAKUAJI WA ARDHI CHEPCHOINA

IEBC: HAKUNA WAPIGA KURA WAPYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *