#Local News

WAKO WAPI WANAFUNZI WA GRADE 10?

Hofu imeibuka kuhusu maelfu ya wanafunzi wa gredi ya 10 ambao hadi sasa hawajaripoti shuleni kwa muhula wa kwanza, serikali ikiagiza ukaguzi kufanywa ili kubaini sababu.

Kulingana na serikali, ni asilimia 60 pekee ya wanafunzi hao walioripoti, sasa kampeni ya nyumba hadi nyumba ikihimizwa ili kuhakikisha asilimia 100 ya mpito.

Muda wa kuwasajili wanafunzi hao umeongezwa hadi Jumatano.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKO WAPI WANAFUNZI WA GRADE 10?

ODM YAZINDUA ZIARA ZA KAUNTI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *