#Local News

RUTO: REKODI YANGU ITANITETEA

Rais William Ruto amekariri kuwa rekodi yake ya maendeleo inatosha kumrejesha mamlakani kwa muhula wa pili kupitia uchaguzi mkuu ujao, akipuzilia mbali tetesi za upinzani kwamba serikali yake imefeli kutekeleza ahadi alizotoa kabla ya kuchaguliwa.

Kulingana na Ruto, serikali yake iko katika mkondo mwafaka wa kutoa huduma kwa wananchi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO: REKODI YANGU ITANITETEA

UHURU: MSICHEZE TENA NA MOTO!

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *