#Local News

NDETI AWATAKA WAKAZI KUTAHADHARI MAPEMA

Huku mvua kubwa ikibashiriwa kuendelea nchini, wakazi wa kaunti ya Machakos wametakiwa kuwa makini na kuhamia maeneo yaliyo salama ili kuepusha majanga yanayoweza kusababishwa na mafuriko.

Gavana wa kaunti hiyo Wavinya Ndeti, amesisitza haja ya wakazi kujihakikishia usalama kwa kuchukua tahadhari ya mapema.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NDETI AWATAKA WAKAZI KUTAHADHARI MAPEMA

HASARA, MAAFA YA MAFURIKO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *