#Local News

NYARIBO AITENGA SERIKALI YAKE NA MIILI 20 KERICHO

Gavana wa Nyamira Amos Nyaribo, ameshinikiza uchunguzi kufanywa ili kubaini ilikotoka miili 20 ya ziada iliyofukuliwa kwenye kaburi la pamoja katika kaunti ya Kericho, akisisitiza kuwa serikali yake iliidhinisha miili 13 pekee kuzikwa kulingana amri ya mahakama.

Akizungumza kwa mara ya kwanza hadharani kuhusu utata huo, Nyaribo amekariri kuwa utawala wake ulifuata taratibu hitajika katika kuizika miili hiyo, na kuwarushia lawama maafisa wanaosimamia makafani.

Maafisa 2 wa serikali yake wanazuiliwa na wapelelezi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NYARIBO AITENGA SERIKALI YAKE NA MIILI 20 KERICHO

GACHAGUA ADAI SHA IKO MAGOTINI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *