#Local News

MANYURU ATAKA USHIRIKIANO KUIMARISHA PVK

Mwenyekiti wa Pentecostal Voice of Kenya ambaye pia ni mchungaji wa Jesus Teaching Ministry, Apostle Peter Manyuru, amewataka wanachama wa muungano huo kushirikiana ili kuhakikisha ukuaji wa chama cha PVK.

Manyuru amesema ushirikiano huo utachangia kuimarisha wanachama, kuleta umoja na kuchochea ukuaji wa chama pamoja na makanisa yaliyo chini ya muungano huo.

Aidha, amewarai viongozi wa mashinani kuwa na mikakati ya kukuza huduma zao huku wakihakikisha ongezeko la wanachama kuanzia ngazi ya mashinani hadi kitaifa.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *