#Local News

GEN Z WAHIMIZWA KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA

Vijana wa kizazi cha Gen Z nchini wamehimizwa kujitokeza kwa wingi na kusajiliwa kama wapiga kura ili kuafikia mageuzi ya uongozi wanayoshinikiza kupitia uchaguzi mkuu wa mwaka ujao.

Akizungumza katika kaunti ya Kiambu, aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua, amesema hatua hiyo itawawezesha kuwatimua kutoka uongozini viongozi wanaoendeleza dhuluma dhidi ya vijana hao.

Alikuwa ameandamana na viongozi akiwemo mbunge wa Nyali Mohammed Ali.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GEN Z WAHIMIZWA KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA

ODM: TUTAMPA RUTO MGOMBEA MWENZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *