#Local News

RUTO AZURU NYANZA AKARIBISHWA NA ORENGO

Rais William Ruto amezuru kaunti za Siaya na Migori leo katika mwendelezo wa ziara yake eneo la Nyanza huku akikaribishwa na Gavana wa Siaya James Orengo hata baada ya mvutano wa kisiasa unaoshuhudiwa.

Rais anaendelea na mikutano yake na wananchi akielezea ajenda ya maendeleo katika maeneo hayo huku akiendelea kupigia debe miradi ya serikali yake akisisitiza umuhimu wa maendeleo kwa wananchi.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *