#Local News

KABURI LA PAMOJA: UCHUNGUZI HURU WASHINIKIZWA

Shinikizo zimeendelea kutolewa kwa taasisi huru kama vile mamlaka ya kutathmini utendakazi wa polisi, IPOA, na tume ya kitaifa ya haki za kibinadamu kuendesha uchunguzi huru ili kubaini iwapo kuna nia fiche kuhusiana na miili 32 iliyozikwa kwenye kaburi la pamoja katika kaunti ya Kericho.

Kulingana na wanaharakati ambao wamekita kambi eneo hilo, utata huo unaweza tu kukomeshwa kupitia uchunguzi huru.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *