#Local News

UHURU: MSICHEZE TENA NA MOTO!

Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta amewatahadharisha wakazi wa eneo la Mlima Kenya dhidi ya kumpigia kura Rais William Ruto, akiwaonya dhidi ya kurejelea alichokitaja kuwa makosa ya mwaka wa 2022.

Uhuru aliyekuwa akizungumza katika hafla ya mazishi katika kaunti ya Kirinyaga, amewahimiza viongozi wa upinzani kuhakikisha umoja wa kitaifa.

Naye aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua, akidokeza uwezekano wa kushirikiana tena kisiasa na Uhuru.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UHURU: MSICHEZE TENA NA MOTO!

RUTO: REKODI YANGU ITANITETEA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *