#Local News

MIAKA 15 YA KATIBA YAADHIMISHWA

Sherehe za Siku ya Katiba zinaadhimishwa kwa mara ya kwanza hii leo ili kuadhimisha miaka 15 ya kuwepo kwa katiba mpya iliyopitishwa mwaka wa 2010.

Hafla hiyo itatumiwa kuangazia mafanikio chini ya katiba hiyo mbali na changamoto ikiwa ni miaka 15 ya utekelezaji wa katiba hiyo.

Sherehe hizo zitakuwa zikiadhimishwa kila tarehe 27 Agosti baada ya kutangazwa rasmi na Rais William Ruto mnamo Jumatatu wiki hii.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MIAKA 15 YA KATIBA YAADHIMISHWA

KDF YABAINISHA WALIOUAWA LAMU

MIAKA 15 YA KATIBA YAADHIMISHWA

HATMA YA MUTAI YAANZA LEO SENETI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *