OBURU ATOA KAULI KUHUSU MAFUTA
Serikali imeendelea kushinikizwa kutafuta mbinu mbadala ya kupunguza bei ya mafuta nchini ambayo imehofiwa kuongeza mzigo wa gharama ya maisha kwa wakenya.
Kiongozi wa chama cha ODM Oburu Oginga, ameihimiza serikali kutenga fedha zitakazofanikisha ruzuku ya mafuta na kupunguza ushuru wa thamani ya ziada, VAT.
Kauli yake imesisitizwa na gavana James Orengo na mbunge Ndindi Nyoro.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































