MAN U MBIONI KUTAFUTA USHINDI DHIDI YA LEEDS

Manchester United wapo mbioni kujiweka katika nafasi nzuri watakapomenyana na Leeds United kwenye uwanja wa Old Trafford. Mechi ya mkondo wa kwanza iliishia sare ya bao 1-1 united wakiwa chini ya Ruben Amorim lakini wameonyesha mchezo mzuri chini ya Kocha wa Muda Michael Carrick na sasa timu hiyo inatazamiwa kupata ushindi. Ushindi kwa united kutawaweka […]