LIVERPOOL YAKABILIWA NA KIBARUA KIGUMU ULAYA

Liverpool wanakabiliwa na kibarua kigumu kuondoa mabingwa watetezi Paris Saint-Germain katika mashindano ya klabu bingwa Ulaya, lakini wanatumai uwanja wao wa nyumbani utawapa matumaini mapya. Timu hiyo kwa sasa inashika nafasi ya tano katika msimamo wa ligi ya Uingereeza na imeshindwa kufanya vyema katika mashindano ya ndani, hivyo mashindano ya Ulaya yamebaki kuwa nafasi yao ya mwisho […]