LIVERPOOL YAKABILIWA NA KIBARUA KIGUMU ULAYA
Liverpool wanakabiliwa na kibarua kigumu kuondoa mabingwa watetezi Paris Saint-Germain katika mashindano ya klabu bingwa Ulaya, lakini wanatumai uwanja wao wa nyumbani utawapa matumaini mapya. Timu hiyo kwa sasa inashika nafasi ya tano katika msimamo wa ligi ya Uingereeza na imeshindwa kufanya vyema katika mashindano ya ndani, hivyo mashindano ya Ulaya yamebaki kuwa nafasi yao ya mwisho […]
English 

















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































