#uncategorized

KINYANG’ANYIRO CHA KPL HAKINA MWENYEWE- WACHANGANUZI

Meneja wa zamani wa timu ya Harambee Stars Willis Waliaula, anaamini kwamba mshindi wa taji la ligi kuu ya soka nchini, KPL, msimu huu atafamika katika mechi za siku ya mwisho kati ya AFC Leopards na viongozi Gor Mahia.

Kulingana na mchanganuzi huyo, timu zote mbili zimeonyesha ari ya kuibuka mabingwa, na huenda mkondo wa pili wa Mashameji Derby ukaamua bingwa.

Amekiri kuwa kinyang’anyiro hicho ni kati ya timu hizo mbili.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KINYANG’ANYIRO CHA KPL HAKINA MWENYEWE- WACHANGANUZI

UPINZANI: HATUNA IMANI NA IEBC

KINYANG’ANYIRO CHA KPL HAKINA MWENYEWE- WACHANGANUZI

KANE KIKOSINI DHIDI YA REAL

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *