UPINZANI: SERIKALI INAWAFADHILI WAHUNI
Viongozi wa muungano wa upinzani wameibua madai kwamba makundi ya wahuni yanapangwa na serikali kwa lengo la kuvuruga mikutano yao, wakionya kuwa huenda makundi hayo yakalitumbukiza taifa kwenye vurugu.
Wakiwa kwenye ziara katika kaunti ya Kajiado, viongozi hao wakiongozwa na Rigathi Gachagua wa DCP wamedai kuwa makundi hayo yanafadhiliwa na wizara ya usalama wa kitaifa.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































