#Local News

MBUNGE KIARAHO KUZIKWA IJUMAA

Mbunge wa Ol Kalou David Kiaraho ameratibiwa kuzikwa hii leo katika eneo la Tigoni kaunti ya Kiambu ambako hafla ya mazishi inaendelea.

Naibu Rais Kithure Kindiki ni miongoni mwa viongozi wakuu serikalini wanaohudhuria hafla ya mazishi ya mbunge huyo ambaye ameombolezwa kama mvumilivu na mwenye bidi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MBUNGE KIARAHO KUZIKWA IJUMAA

NAIROBI KUPATA SURA MPYA 

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *