BANDARI YALENGA UBINGWA WA KOMBE LA FKF

Kocha wa makipa wa Bandari Razak Siwa, ameihimiza timu yake kuongeza bidii wanapolenga kutwaa Kombe la Shirikisho la Soka nchini na kujipatia nafasi ya kushiriki mashindano ya vilabu barani Afrika msimu ujao. Siwa amesema wana uwezo wa kurudia mafanikio ya mwaka 2015 walipotwaa kombe hilo, akiongeza kuwa chini ya kocha mkuu Bernard Mwalala, timu hiyo […]