#Local News

IEBC YAWAHIMIZA VIJANA KUJISAJILI

Tume huru ya uchaguzi na mipaka, IEBC, imewahimiza vijana kujisajili kwa wingi kama wapiga kura, kwa misingi kwamba malalamishi yao ya uongozi yanaweza tu kutatuliwa kwa kuwachagua viongozi walio na uwezo wa kuiendesha nchi.

Akizungumza kwenye kaunti ya Machakos, kamishna wa tume hiyo Alutalala Mukhwana, amesisitiza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka ujao utawapa jukwaa zuri la kupaaza sauti yao.

Hata hivyo, amesisitiza kuwa mfumo wa uchaguzi hautabadilishwa kwa sasa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

IEBC YAWAHIMIZA VIJANA KUJISAJILI

SHA KUGHARAMIA UZAZI LEVEL 2 NA 3-

IEBC YAWAHIMIZA VIJANA KUJISAJILI

EACC YAWAKAMATA MAAFISA 3 GARISSA 

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *