#Local News

UPASUAJI WA MAITI WAFICHUA KIINI CHA KIFO MUKUMU

Imebainika kuwa mama mjamzito aliyefariki alipokuwa akijifungua katika hospitali ya kimisheni ya Mukumu kaunti ya Kakamega alifariki kutokana na majeraha na kuvunjika kwa viungo, familia ikishinikiza haki kutoka kwa hospitali hiyo.

Kwa mujibu wa ripoti ya upasuaji, mwathiriwa kwa jina Grace Wambui Misiko, alivunjika viungo vya mwili zikiwemo mbavu na sehemu ya uzazi.

Familia imesema wauguzi wa hospitali hiyo walimdhulumu hadi akafariki.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UPASUAJI WA MAITI WAFICHUA KIINI CHA KIFO MUKUMU

KMPDU YATOA MAKATAA COAST GENERAL

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *