USAMBAZAJI WA DAWA ZA KUKABILI HIV WAANZA
Hatimaye wizara ya afya imezindua usambazaji wa dawa za Lenacapavir za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa UKIMWI, zilizowasili nchini wiki jana.
Dawa hiyo inayolenga kuzuia maambukizi mapya nchini, inatolewa kama chanjo mara 2 kwa mwaka kwa wakenya walio katika hatari ya kuambukizwa.
Zoezi hilo linaoongozwa na Waziri wa afya Aden Duale.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 






































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































