NYONG’O AONYA UHUNI UNAVURUGA UCHUMI
Gavana wa Kisumu Prof. Anyang Nyong’o amewaonya wanaojihusisha na matukio ya uhuni katika kaunti hiyo, akisema hatua yao inaiharibia jina kaunti ya Kisumu machoni pa wawekezaji.
Akiwahutubia wanahabari baada ya mkutano wa usalama, Nyong’o amewataka vijana kujitenga na wanasiasa wanaowatumia kutekeleza uhuni.
Ameitaka serikali kukomesha makundi ya wahalifu kaunti hiyo.
Imetayarishwa na An
English 






































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































