WANAFUNZI MILIONI 10 KUNUFAIKA NA MPANGO WA CHAKULA 2030
Wanafunzi zaidi ya milioni 10 wanatarajiwa kufaidika na mpango wa chakula kwa wote, ambao Wizara ya Elimu inapanga kuzindua ifikapo mwaka 2030.
Kwa mujibu wa Katibu Msimamizi wa wizara hiyo, Florence Aboyit, mpango huo utaanza kutekelezwa mara baada ya kukamilika kwa sera itakayotoa mwongozo wa kisheria.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































