MPANGO WA SHA KUBORESHWA
Wakenya wataanza kufaidi zaidi na mpango wa bima ya afya wa SHA baada ya wizara ya afya kuanzisha mpango wa kuuboresha.
Afisa mkuu anayesimamia mpango huo Dkt Mercy Mwangangi ameelezea masikitiko yake kuwa wengi wa wakenya hawaelewi manufaa yanayotokana na mpango huo.
Mwangangi ameanza rasmi kutekeleza majukumu yake kama msimamizi wa bima hiyo.
Imetayarishwa na Maureen Mukhobe
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































