#Local News

KOOME AJITENGA NA KUAGIZA MASHTAKA YA UGAIDI

Jaji mkuu Martha Koome anasema itakuwa jukumu la mkurugenzi wa mashtaka ya umma na uchunguzi unaoendeshwa na polisi kubaini iwapo waandamanaji waliokamatwa baada ya watafunguliwa mashtaka ya ugaidi au la.

Akiongea huko Mombasa Koome anasema matamshi aliyoyatoa baada ya kutembelea mahakama ya Kikuyu iliyoteketezwa hayawezi kutumika kuwafungulia wahusika mashtaka ya ugaidi.

Imetayarishwa na Maureen Mukhobe

KOOME AJITENGA NA KUAGIZA MASHTAKA YA UGAIDI

UASU YATISHIA KUITISHA MGOMO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *