#Local News

SHA KUSIMAMIA MATIBABU YA SARATANI

Ni afueni kwa wagonjwa wa saratani baada ya wizara ya afya kuanzisha mazungumzo na kampuni ya kutengeneza dawa ya Roche ili kupunguza gharama ya dawa na matibabu ya saratani kwa jumla.

Akiongea kwenye kongamano la saratani waziri wa afya Aden Duale anasema gharama hiyo itapunguzwa kutoka shilingi 120,000 kila awamu hadi shilingi 40,000 .

Duale anasema fedha hizo zitalipwa kupitia bima ya SHA na mgonjwa hatatozwa chochote.

Imetayarishwa na Maureen Mukhobe

SHA KUSIMAMIA MATIBABU YA SARATANI

BAJABER INJE YA CHAN

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *