#Local News

WABUNGE WAMENICHOSHA NA HONGO, RUTO

Rais William Ruto ameibua madai kwamba wabunge wamevuka mipaka katika kuitisha hongo wanapoichunguza serikali kuhusiana na masuala mbali mbali, akisema imemlazimu awaweke wazi.

Akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya ugatuzi katika kaunti ya Homa Bay, Rais amedai kuwa kamati za bunge zimekuwa zikiitisha hongo ili kuwasafisha maafisa wanaotuhumiwa katika Sakata mbali mbali.

Amesema ameiachia tume ya maadili na kukabili ufisadi kuchukua hatua.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WABUNGE WAMENICHOSHA NA HONGO, RUTO

MACHAKOS YASISITIZA HUDUMA ZINGALIPO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *