#Local News

WIZARA YAFICHUA ULAGHAI KUPITIA SHA

Wizara ya afya imeimarisha juhudi zake za kukabili ulaghai wa hospitali kuhusiana na malipo ya bima ya SHA, ikisema imezuia ulipaji wa shilingi bilioni 10.6 zilizokuwa zikitumwa kwa hospitali kadhaa kupitia njia za udanganyifu.

Kulingana na waziri wa afya Aden Duale, vituo vya afya 45 vinavyodaiwa kutumia udanganyifu kuilaghai bima hiyo vimefungwa kwa kukosa kufuata mwongozo wa matibabu.

Duale amesema kaunti ya Mandera inaongoza kwa visa vya udanganyifu chini ya bima hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WIZARA YAFICHUA ULAGHAI KUPITIA SHA

MOI, WAHADHIRI WAKOSA MWAFAKA

WIZARA YAFICHUA ULAGHAI KUPITIA SHA

OKUMU APATA JERAHA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *