MAAFISA WA KLINIKI KAUNTI YA MARSABIT WANAENDELEA NA MGOMO WAO
Maafisa wa kiliniki kutola kaunti ya Marsabit wameendelea na mgomo ambao umeingia wiki ya nne sasa.
Mgomo huo umeendelea huku mvutano ukiendelea kuhusu mkataba uliosainiwa na serikali ya kaunti ya Marsabit na muungano wa maafisa hao wa kliniki mwezi aprili mwaka huu.
Maafisa hao wa kliniki wanaitaka serikali ya kaunti sasa kuwajibika ipasavyo na kutekeleza matakwa yao.
Imetayarishwa na Jones Koikai
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































