#Local News

LSK KUPINGA UAMUZI WA MAHAKAMA

Chama cha mawakili nchini LSK kimetishia kupinga uamuzi wa mahakama ya Nakuru kuwazuia mawakili wa kibinafsi kuwakilisha idara za serikali mahakamani, kikisema uamuzi huo ni vita dhidi ya taaluma ya uanasheria.

Rais wa LSK Faith Odhiambo, amekosoa uamuzi huo anaosema ni utumizi mbaya wa mamlaka ya idara ya mahakama, wakitaka agizo hilo libatilishwe.

Hata hivyo, waliowasilisha kesi iliyosababisha uamuzi huo, wanasema hatua hiyo itapunguza ubadhirifu wa fedha za umma.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

LSK KUPINGA UAMUZI WA MAHAKAMA

KARO YA 500 KIHARU!

LSK KUPINGA UAMUZI WA MAHAKAMA

RUTO:MIMI NDIO BORA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *