#Local News

VIONGOZI WA TAITA TAVETA WALAANI UKEKETAJI


Viongozi kutoka kaunti ya Taita Taveta wanasema kuna haja ya juhudi zaidi hapa nchini ili kumaliza ukeketaji.

Wakizungumza katika kaunti hiyo viongozi hao Wamesema visa vya ukeketaji vimekuwa vikiendelezwa hasa katika maeneo ya mipakani mwa Kenya na Tanzania.

Aidha, viongozi hao wamesema ukeketaji unafanywa sio tu kwa wasichana wa shule za msingi na upili, bali pia kwa watoto wadogo, jambo linalotia wasiwasi mkubwa kijamii na kiafya.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

VIONGOZI WA TAITA TAVETA WALAANI UKEKETAJI

WAKILI AISHTAKI BUNGE KUHUSU FEDHA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *