#Local News

WATU 20 WAANDIKISHA TAARIFA NA DCI KUHUSU SAKATA YA MAFUTA

Uchunguzi katika Sakata ya mafuya yenye thamani ya shilingi bilioni 2.9 umeshika kasi, jumla ya watu 20 wakiwa wameandikisha taarifa na idara ya upelelezi wa jinai, DCI.

Haya yanajiri huku washukiwa watatu ambao ni Mohammed Liban, Joe Sang na Daniel Kiptoo wakitarajiwa mahakamani leo baada ya kupewa bondi ya polisi hapo jana.

Mawakili wao wametoa stakabadhi kuonyesha kuwa maagizo ya uagizaji wa mafuta hayo yalitoka kwa kamati kuu ya baraza la usalama nchini.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WATU 20 WAANDIKISHA TAARIFA NA DCI KUHUSU SAKATA YA MAFUTA

KANE KIKOSINI DHIDI YA REAL

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *