GACHAGUA AAPA KUUNGANISHA MLIMA

Naibu Rais Rigathi Gachagua ameahidi kuwa atahakikisha eneo la Mlima Kenya linaungana, huku akipinga kuwapo mvutano baina yake na baadhi ya viongozi katika eneo hilo.
Akizungumza katika hafla ya mazishi katika eneo la Kirinyaga, Gachagua hata hivyo amekiri kuwapo kwa viongozi wanaotaka kuligawanya eneo la kati kisiasa.
Imetayarishwa na: Antony Nyongesa
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































