#Local News

UHABA WA CHANJO KATIKA HOSIPITALI ZA UMMA

Tatizo la Uhaba wa chanjo katika hosipitali za umma limeendele kushika kasi huku wazazi wakilazimika kurejea nyumbani na wanao bila kupata huduma chanjo.

Wazazi hao wameeleza kuwa hatua hiyo huenda ikaadhiri wanao iwapo wizara ya afya haitashughulikia swala hilo kwa haraka.

Imeteyarishwa na Janice Marete

UHABA WA CHANJO KATIKA HOSIPITALI ZA UMMA

SERIKALI KUHAKIKI SERA ZA KIGENI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *