VIONGOZI WETU NI WAZEMBE; WAKAAZI WA ADU WASEMA
Wakaazi wa wadi ya Adu eneo bunge la magarini kaunti ya Kilifi wameendelea kulalamikia kulemazwa kwa miradi ya maendeleo kufuatia kile wamekitaja kuwa kuzembea kwa viongozi wao.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































