KUCO YALETA NAFUU HOSPTILANI
Wakati uo huo, chama cha maafisa wa Kliniki KUCO kimefutilia mbali mgomo wao ambao umedumu kwa zaidi ya siku 100, baada ya mashauriano na baraza la magavana.
Katika taarifa, katibu mkuu wa KUCO George Gibore, amesema wamekubalinaa kutia Saini mktaba wa kurejea kazini wakati wa mashauriano hayo.
Akitangaza kufutilia mbali kwa mgomo huo ulioanza tarehe 1 mwezi Aprili, Gibore amewataka maafisa wa kliniki kurejea kazini mara moja.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































