KAUNTI YA TRANSNZOIA YAHIMIZWA KUJENGA KITUO CHA WAGONJWA WA SARATANI
Serikali ya kaunti ya transnzoia imehimizwa kuwekeza pakubwa katika uhamazishaji ,ukaguzi na matibabu ya mapema dhidi ya saratani.
Jambo hilo ni la kusikitisha kuona wakaazi wa kaunti hiyo wanaougua ugonjwa huo wanaangaikia matibabu ya saratani ambapo wanalazimika kusafirisha wagonjwa hadi jijini nairobi na kaunti zingine.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































