#Local News

SERIKALI YENYE MSINGI MPANA ITAFUNGUA UWEZO WA KENYA – RUTO

Rais William Ruto sasa anasema kuwa utawala wake mpya ulio na msingi mpana utafungua uwezo kamili wa nchi.

Akizungumza wakati wa kuapishwa kwa Makatibu 19 wa Baraza la Mawaziri walioidhinishwa, Ruto amesema Kenya imekuwa ikizuiliwa na ushindani wa kisiasa.

Ameongeza kusema kuwa wakati umefika ambapo maslahi ya nchi ni makubwa kuliko ya vyama vya siasa.

Imetayarishwa na Janice Marete

SERIKALI YENYE MSINGI MPANA ITAFUNGUA UWEZO WA KENYA – RUTO

OMBA UFADHILI WA CHUO KIKUU KABLA YA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *