#Local News

OMBI LA KUBATILISHA UTEUZI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LIMEWASILISHWA MAHAKAMANI

Ombi limewasilishwa mahakamani kupinga uteuzi wa Makatibu 19 wa Baraza la Mawaziri walioapishwa jana Alhamisi.

Katika stakabadhi za mahakama Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kenya (KHRC) na Wanjiru Gikonyo, wanataka mahakama kubatilisha uteuzi wa Makatibu 19 wa Baraza la Mawaziri kwa misingi minne ikiwa ni pamoja na ukosefu wa uwajibikaji wa Bunge, ushirikishwaji ipasavyo wa umma na kuongeza kuwa mchakato.

Imetayarishwa na Janice Marete

OMBI LA KUBATILISHA UTEUZI WA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LIMEWASILISHWA MAHAKAMANI

AMEENDA MBELE ZA HAKI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *