MUUNGANO WA WAFANYIBIASHARA KAKAMEGA WAUNGA MKONO PENDEKEZO LA MBADI
Muungano wa wafanyibiashara Chamber of Commerce katika kaunti ya kakamega umeunga mkono pendekezo la Waziri wa fedha John Mbadi kurejesha baadhi ya vipengele muhimu katika mswada wa fedha 2024 uliotupiliwa mbali.
Mwenyekiti wa muungano huo Wycliffe Kibicu anasema kuwa baadhi ya vipengele hivyo vitasaidia kuimarisha uchumi na vile vile kulinda taifa dhidi ya kuwa eneo la kutupa bidhaa ambazo hazitumiki katika mataifa mengine.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































