#Local News

NAIBU KAMISHINA WA KAUNTI YA BUNGOMA ATWIKA AFISI YAKE JUKUMU LA KUSAJILI WATU KWA SHA

Afisi ya naibu kamishina wa kaunti ya Bungoma Abdi Mahamud imejitwika jukumu la kuwasajili wakazi wa kaunti ya Bungoma katika bima mpya ya afya SHA.

Wakazi wa kaunti ya Bungoma wamehimizwa kujisajili katika bima hiyo kwa manufaa yao binafsi.

Imetayarishwa na Janice Marete

NAIBU KAMISHINA WA KAUNTI YA BUNGOMA ATWIKA AFISI YAKE JUKUMU LA KUSAJILI WATU KWA SHA

BIMA MPYA YA AFYA KUZINDULIWA LEO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *