#Local News

MLINZI WA USIKU AUAWA MACHAKOS

Hofu imetanda miongoni mwa wafanyabiashara mjini Machakos wanaohofia usalama wao, baada ya mlinzi mmoja wa usiku kuuawa na majambazi waliovamia duka la nguo usiku wa kuamkia leo.

Imearifiwa kuwa majambazi wamevamia duka hilo na kupora nguo na bidhaa nyingine za thamani baada ya kumwua mlinzi huyo ambaye mwili wake umepatikana nje ya duka hilo.

Wenyeji sasa wanashinikiza usalama kuimarishwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MLINZI WA USIKU AUAWA MACHAKOS

MIGOMO YAENDELEA KULEMAZA MATIBABU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *